KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Wednesday, April 04, 2018

NANA BRAND (HOUSEHOLD's) RASMI KUZINDUA BIDHAA YAO MPYA YA SUBUNI@2018KgChataNews

Nana Company L.T.D Leo hii Imezindua Lasmi bidhaa, yao mpya ya Sabuni .

Bidhaa hiyo ambayo imethibitishea na TBS Tanzania, ambayo in kwa ajiri ya usafi wa majumbani .

Aidha nikiongea na Mkurugenzi wa Kampuni ya Nana Brands amesema kuwa bidhaa hiyo, inapatikana katika ujazo wa Lita 5 .

Sabuni hiyo ya kimiminika ambayo, inatumika kusafisha, masinki, vyoo, sakafu, kunawia mikono nk imethibitishwa kwa ubola zaid Duniani.
Kwa mahitaji zaidi, wasiliana nao kwa namba zifuatazo, 0768595945.

Pia kwa mahitaji zaidi, wasiliana na namba hizo ili kuweza kupata bidhaa hiyo popote pale nchini, unaweza kufikishiwa mzigo kwa jumla na rejareja 

kgchatanewsTz
Share:

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts