Msanii huyo anakwenda kwa jina la RAINFALL amesema kuwa muda si mrefu atatambulisha kazi yake mpya on KgTv ambapo mapema leo akihojiwa na kusema kuwa hana sababu yoyote ya kushindwa kuachia nyimbo sababu ana project nying Studio .
Pia ameelezea ninini sababu ya kuchelewesha nyimbo yake mpya ambapo kasema alikuwa akimalizia masomo yake hususa ni mitihani mikubwa katika shule hiyo.
Pia awaomba radhi mashabiki wake wote na kuwaahidi mambo mengi mazur kutoka kwake .RAINFALL FT DOLLA TRACK.....SOng...BABA LA BABA .
Friday, December 01, 2017
Home »
NEW STORY
» MSANII WA MUZIKI WA BONGO FREVA RAINFALL FT DOLLA TRACK KUACHIA NYIMBO MPYA HIVI KALIBUNI
0 comments:
Post a Comment