KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Sunday, December 17, 2017

TANZANIA YATANGAZA KUFUNGIA ACCOUNT YOYOTE YA MTU ATAKAE POST PICHA ZA UCHI MTANDAONI @2017

     Hii imetolewa kufuatiwa na Agizo la Mheshimiwa Dk John Joseph Magufuli, Rais wa Tanzania kupiga marufuku, Tv yoyote kucheza au kuonyesha nyimbo yoyote iliyo na utupu ndani yake .

      Pia Tanzania, Azitaka taasisi maalumu ya kupambana na maadili ya nchi kufata utaratibu na kuchukua hatua, kwa watu watakao kiuka utaratibu huo .

     Pia tanzania yaombwa kua na heshima ili, kujenga uzalendo ulio wema kwa taifa hili ambapo imetajwa, kua Tz wadada wameongoza kutokua na maadili, kupolomoka kufuatiwa kuvaa nguo zisizo na heshima kwa jamii, ikifatiwa na wakaka kuvaa nusu uchi, wakiachia six pack .

     Pia wakaka wengi, wakivaa nusu ya makalio yao yani (Mlegezo) wakidai ndo fashion ssa tabia hii inarudisha nyuma uzalendo wa nchi yetu .

     Tv au Mitandao ya kijamii, kutangazwa lasmi kufungwa kwa mtu atakaebainika, kupost au kucheza video/Picture ya uchi bila ufataji wa sheroa na kuchukuliwa hatua kali .

    @2017KgChataMediaNews.com

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts