Mtoto huyo alietupwa na mama yake ndani ya shimo akiwa na umri wa siku 4👈 tu amekutwa ndani ya shimo takribani siku 6 👈 akiwa mzima .
Ambapo Dawati la Police wanawake mkoa wa RUVUMA👈, Wakiwa na wauguzia kuangalia usalama wa mtoto, Huyo aliye tupwa.
Kutoka kulia ni Muuguzi Rukia, Twahili, Anayefuata Devoda Umbela na Aliye mshika, mtoto ni mwenyekiti wa mtandao wa Police👈 wanawake, Fadhila chacha na wa mwiaho kushoto ni Anna Chaima.
Mungu amtie nguvu na kumpa adhabu kali aliyefanya kitendo👈 hicho . Mtoto aliyetupwa akiwa na umri wa siku 4 kukutwa hai ndai ya shimo akiwa na aiku 6 humo .
0 comments:
Post a Comment