Msanii wa bongo Comedian 👉Athuman Mzamiru, H star Aka Akili Mbovu mwenye umri wa 👉👉miaka 22, ambae amsema kuwa kazi ya Uigizaji wa Comedi, ameanza kazi hiyo alipozaliwa na kuanza rasmi kuongea👈 .
Pia amesema kuwa sanaa ameanza toka shule ya msingi,👈 ambapo move yao ya Demo Ameanza kutoa mwaka 2011,👈 pia kaongeza kusema pia wana movie ya pili ambayo ilitoka alifanya na star wa bongo 👉Tin white, move ya tatu alifanya na 👉Asha boko ambapo ya nne kafanya na 👉Diana kimalo Aka 👉Danija .
Msanii huyo amedai kuwa mtu/Msanii aliemvutia mpaka kuingia kwenye Tasnia ya filam Comedy ni👉MPOKI, kasema kuwa anakubali kazi zake kuchukua muda mrefu kumfatilia mchekeshaji huyo(mpoki)👈.
Pia msaii 👉Akili Mbovu amesema kuwa, mashabiki wake wategemee vitu vizur kutoka, kwake kasema kuwa bila wao hawezi kuwa yeye.
KgTvallreseevedon👉AkiliMbovu watching comedi on akilimbovu hakimu wa 4g .
0 comments:
Post a Comment