KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Thursday, December 07, 2017

MSANII WA BONGO COMEDY AKILI MBOVU KUACHIA RASMI CLIP ZAKE ZA VICHEKESHO (Hakimu wa 4G)

          Msanii wa bongo Comedian 👉Athuman Mzamiru, H star Aka Akili Mbovu mwenye umri wa 👉👉miaka 22, ambae amsema kuwa kazi ya Uigizaji wa Comedi, ameanza kazi hiyo alipozaliwa na kuanza rasmi kuongea👈 .

        Pia amesema kuwa sanaa ameanza toka shule ya msingi,👈 ambapo move yao ya Demo Ameanza kutoa mwaka 2011,👈 pia kaongeza kusema pia wana movie ya pili ambayo ilitoka alifanya na star wa bongo 👉Tin white, move ya tatu alifanya na 👉Asha boko ambapo ya nne kafanya na 👉Diana kimalo Aka 👉Danija .

      Msanii huyo amedai kuwa mtu/Msanii aliemvutia mpaka kuingia kwenye Tasnia ya filam Comedy ni👉MPOKI, kasema kuwa anakubali kazi zake kuchukua muda mrefu kumfatilia mchekeshaji huyo(mpoki)👈.

     Pia msaii 👉Akili Mbovu amesema kuwa, mashabiki wake wategemee vitu vizur kutoka, kwake kasema kuwa bila wao hawezi kuwa yeye.

    KgTvallreseevedon👉AkiliMbovu watching comedi on akilimbovu hakimu wa 4g .

     
         

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts