KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Saturday, December 09, 2017

TANZANIA KUAZIMISHA MIAKA 56 YA UHURU

      Leo tarehe 9/12/2017,Tanzania kuazimisha miaka 56 ya uhuru ambapo watanzania wengi wamwjitokeza kuadhimisha, uhuru huo .

       Mgeni lasmi ambae ni Dr. John Pombe Magufuli, na viongozi wengine wa juu wa serikali Wazili mkuu Mama Samia thruu na waziri mkuu Kassim Majaliwa, na mawazili pia na viongozi wa dini kuhudhuria, uhuru huo .

       Pia Tanzania tunawakumbuka, waliopigania uhuru wa Tanganyika pia wanajeshi, viongozi waliopigana na kuikomboa nchi ya Tanzania .

      Pia Tanzania yakumbuka, wanajeshi zaidi ya kumi na nne waliofariki, ktk mapigano yaliyotokea nchi ya kongo .
Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki Africa Mungu Ibariki Dunia nzima .

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive