KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Tuesday, December 05, 2017

DJ WA DIAMOND PLATNUM ROMYJONES KUFUNGA NDOA LASMI NA MKEWE (WCB)

        Dj RomyJones👈 wa WCB(wasafi crew) kufunga ndoa na mkewe lasmi jana, na kufanya sherehe kubwa ikilinganishwa kuwa ya 3 Tz. Kwa kuwa na uwingi wa watu .

      Ambapo akihojiwa na KgTv" jana aliwashukuru, watnzania na crew nzima na kumahukuru mkewe kwa, kufikia hatua hiyo wakiwa salama na afya tele .

      Pia DjRomyJones ameishukuru, kamuni ya "WASAFI"(WCB) Crew kwa kumpa kampani, kubwa wakiambatana na familia za pande zote 2.
       @RomyJones
        @SiamondPlatnums
         @Zari the boss lady wakiwa ndo washenga, kwa harusi hiyo kubwa ya djjonesromy, Ambayo imevunja rekodi kuhudhuriwa na mastaa wakubwa wa Bongo.

   Sj wa DiamondPlatnums kufunga ndoa jana majila ya mchana djromyjones thx suport funs wote mlokuja God bless Peoples Tanzanian .

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive