Dj RomyJones👈 wa WCB(wasafi crew) kufunga ndoa na mkewe lasmi jana, na kufanya sherehe kubwa ikilinganishwa kuwa ya 3 Tz. Kwa kuwa na uwingi wa watu .
Ambapo akihojiwa na KgTv" jana aliwashukuru, watnzania na crew nzima na kumahukuru mkewe kwa, kufikia hatua hiyo wakiwa salama na afya tele .
Pia DjRomyJones ameishukuru, kamuni ya "WASAFI"(WCB) Crew kwa kumpa kampani, kubwa wakiambatana na familia za pande zote 2.
@RomyJones
@SiamondPlatnums
@Zari the boss lady wakiwa ndo washenga, kwa harusi hiyo kubwa ya djjonesromy, Ambayo imevunja rekodi kuhudhuriwa na mastaa wakubwa wa Bongo.
Sj wa DiamondPlatnums kufunga ndoa jana majila ya mchana djromyjones thx suport funs wote mlokuja God bless Peoples Tanzanian .
0 comments:
Post a Comment