KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Saturday, December 02, 2017

CHAMBUZI COMEDIAN KATORO KUFANYA VZURI NA MOVIE YAKE YA (APUYO)

       Msanii wa comedy anaekwenda kwa jina la Paulo aka Chambuzi Comedian, anaefanya vizur katika tasnia ya bongo comediani movie, kutoka mji mdogo wa Katoro, amesema kuwa, Movie yake ya APUYO inaendelea kufanya vzur zaidi, kwa sababu story ya movie ile ni nzur na yakueleweka .

   Aidha msanii huyo Amedai kuwa wanapata changamogo na, katika usambaz ya kazi zao na kuwafanya, mpaka kulegea kutoa Kazi zingine kwa kua, huchukua muda mrefu kazi zao kuwalipa au kutowalipa kabisa na kujikuta, wanaifrahisha jamii kuliko wao kupata faida .

Changamoto
   Ameongeza kusema kuwa wanatumia galama nyingi kuwalipa, washiliki na kuwalipa Madirector na ambapo wanatoa pesa nyigi ili kuandaa, na kukamilisha kazi hiyo .

    Chambuzi asema kuwa hivi kalibuni anatarajia kuachia movie nyingine mpya amesema mashabiki, wa tasnia ya filamu wakae tayar kwa filamu hiyo .
  
    Chambuzi Comedian atamba na movie yake mpya, iitwayo Apuyo .

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive