KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Saturday, December 02, 2017

MSANII WA BONGO FREVA AMONTA 4REAL KAELEZEA SABABU ZILIZOKWAMISHA MPAKA VIDEO YAKE MPYA KUCHELEWA KUTOKA (HIZI HAPA)

     Msanii huyo anaekwenda kwa jina la AMONTA4REAL, Amesema kuwa sababu zilizofanya mpka video yake, kuchelewa kutoka ni nyingi sana ambapo kasema kuwa, kutokana na video hiyo, kuchelewa ni kutokana na director wa video hiyo XAIMACO, kucheleweshewa vifaa na COMPONY, yao .
   Na pia kaeleze kuwa abbu nyingine ilikuwa ni uandaaji wa Location, na Video Qn wa video hiyo kulazimishwa mapenz na madirector hao, ikafanya video Qn kutotokea siku ya Shooting hiyo.
    Na pia sababu nyingine Ameelezea kupata changamoto ya upatikanaji wa vifaa kama, Mavazi, maka up, Usafiri, kaelezea kuwa hzo nichangamoto, zilizokuwa kwasababu hakuwa na pesa ya kutosha kupata vitu vyote hivyo, ambapo ililazimu, kuahirisha kaz mpaka kukamiliaha vitu hivo.
   Msanii huyo pia kapongeza Kampuni ya KgChataMedia kwa kuwwza kusimamia kazi yake mpka kukamilika, na kuwa chini ya Kampuni hiyo na KU SIGN Mkataba Lasmi na kampuni, hiyo .
    Msanii huyo Amewaomba radhi washabiki, na mafuns wa muziki wake kuwa ni sbabu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wake, na amewaahidi mambo mengi mazuri kuanzia sasa akiwa na chini ya Kampuni ya KgChataMedia .
Amonta4real song..Wathamani on youtube.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive