Msanii huyo anaekwenda kwa jina la AMONTA4REAL, Amesema kuwa sababu zilizofanya mpka video yake, kuchelewa kutoka ni nyingi sana ambapo kasema kuwa, kutokana na video hiyo, kuchelewa ni kutokana na director wa video hiyo XAIMACO, kucheleweshewa vifaa na COMPONY, yao .
Na pia kaeleze kuwa abbu nyingine ilikuwa ni uandaaji wa Location, na Video Qn wa video hiyo kulazimishwa mapenz na madirector hao, ikafanya video Qn kutotokea siku ya Shooting hiyo.
Na pia sababu nyingine Ameelezea kupata changamoto ya upatikanaji wa vifaa kama, Mavazi, maka up, Usafiri, kaelezea kuwa hzo nichangamoto, zilizokuwa kwasababu hakuwa na pesa ya kutosha kupata vitu vyote hivyo, ambapo ililazimu, kuahirisha kaz mpaka kukamiliaha vitu hivo.
Msanii huyo pia kapongeza Kampuni ya KgChataMedia kwa kuwwza kusimamia kazi yake mpka kukamilika, na kuwa chini ya Kampuni hiyo na KU SIGN Mkataba Lasmi na kampuni, hiyo .
Msanii huyo Amewaomba radhi washabiki, na mafuns wa muziki wake kuwa ni sbabu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wake, na amewaahidi mambo mengi mazuri kuanzia sasa akiwa na chini ya Kampuni ya KgChataMedia .
Amonta4real song..Wathamani on youtube.
Saturday, December 02, 2017
Home »
» MSANII WA BONGO FREVA AMONTA 4REAL KAELEZEA SABABU ZILIZOKWAMISHA MPAKA VIDEO YAKE MPYA KUCHELEWA KUTOKA (HIZI HAPA)
0 comments:
Post a Comment