KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Tuesday, December 05, 2017

WASANII WA BONGO FREVA (WAPANCRAS) KUACHIA NYIMBO YAO MPYA HIVI KALIBUNI song..LIMEYUMBA

        Wasanii hao Ambao ni Mapacha, Ambao wameunda kundi lao linalokwenda kwa jina la #WAPANCRAs👈, Wamesema kuwa wananyimbo, nyingi kama vile Chausiku👈, Nitunzie Siri👈 nazinginezo nyingi ambazo zinafanya vzuri mpaka sasa,

        Mapema leo wakiongea na KgTv".👈 Wamesema kuwa baada ya muda mrefu, kuwa kimya sasa wamekuja na nyimbo yao mpya inayoitwa, #LIMEYUMBA👈.

       Pia waelezea sababu iliyofanya kuwa kimya muda mrefu, ambapo wameeleza na kusema kuwa walikuw Wakiandaa, Studio👈 yao mpya inayoitwa #ALIVE MUSIC,👈 Ambapo imekamilika tayari na kufunguliwa 1/10/2017 ambapo imeanza kaz lasmi .

      Pia wanatoa shukrani kwa wote wanaoendelea, kusapoti muziki mzur wa Tz pia wameongeza kusema kuwa, wataendelea kutoa hiti nying kwa hiyo mashabiki wategemee vitu vzur kutoka, kwao .
      Wapancras new👈👈 song...Limeyumba official Music coming on 10/12/207.....KgTv.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive