Wasanii hao Ambao ni Mapacha, Ambao wameunda kundi lao linalokwenda kwa jina la #WAPANCRAs👈, Wamesema kuwa wananyimbo, nyingi kama vile Chausiku👈, Nitunzie Siri👈 nazinginezo nyingi ambazo zinafanya vzuri mpaka sasa,
Mapema leo wakiongea na KgTv".👈 Wamesema kuwa baada ya muda mrefu, kuwa kimya sasa wamekuja na nyimbo yao mpya inayoitwa, #LIMEYUMBA👈.
Pia waelezea sababu iliyofanya kuwa kimya muda mrefu, ambapo wameeleza na kusema kuwa walikuw Wakiandaa, Studio👈 yao mpya inayoitwa #ALIVE MUSIC,👈 Ambapo imekamilika tayari na kufunguliwa 1/10/2017 ambapo imeanza kaz lasmi .
Pia wanatoa shukrani kwa wote wanaoendelea, kusapoti muziki mzur wa Tz pia wameongeza kusema kuwa, wataendelea kutoa hiti nying kwa hiyo mashabiki wategemee vitu vzur kutoka, kwao .
Wapancras new👈👈 song...Limeyumba official Music coming on 10/12/207.....KgTv.
0 comments:
Post a Comment