Msanii janduu akieleze nyimbo yake mpya kutia KgFm Leo jioni amedai kuwa, mziki umekuwa ukishuka kwa sababu ya bifu baina ya WASANII Kwa WASANII na pia kazungumzia jinsi alivopitia changamoto alipoanza Muziki .
Ambapo alisema alianza muziki akiwa ktk hali duni na kukosa MANAGER Wa kusimamia kazi zake ambapo alijikuta akipoteza sifa zake kutokana na kutorecord NYIMBO Mpya kutokana na ukosefu wa PESA Na kujikuta akitembea umbar mrefu kutafuta Studio......!!!
0 comments:
Post a Comment