Msanii COSTA amesema kuwa hivi sasa kaja na ujio mpya, kwa kuachia nyimbo mpya inayoitwa Beby Fine mapema leo akiongea na KgTv amesema hv punde mashabiki wategemee vitu vingi kutoka kwake,
Msanii huyo alietamba kwa nyimbo ya JOTO LA MTAA asema kuwa alikuwa kimya muda mrefu sababu management ilikuwa inafikilia ni ngoma gani ya kwanza kuachiwa baada ya RACKER BOYONE kutoa ngoma kadhaa .
0 comments:
Post a Comment