KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Monday, December 11, 2017

MSANII WA BONGO FREVA GODBICKO ZE MAFIA KUZUNGUMZIA MZIKI WAKE MPYA Song...JIPE SHAVU @2017

       Msanii huyo anayekwenda kwa jina la Godfrey William Sahini, aka Godbicko ze mafia akieleze nyimbo yake mpya ya Jipe shavu, mapema hii .

      Kasema kuwa hakuna msanii aliyemsukuma, mpka yye kuanza rap lakin kasema kua ni yye mwenyewe kujiona, kuwa anakipaji cha kufanya game la kuimba, na kuanza kufanya mziki wake wa bongo freva.

      Ze mafia pia kasema kuwa, msanii anaemkubali Bongo ni Stamia aka Rostam na nje ya Tz ni wiz khalifa, pia mafia kataja kuachia ngoma yake mpya December hii .

    Pia amesema kuwa kwa sasa hana, management yoyote anafanya muziki wake mwenyewe, pia kasema kua yeye anasimamia muziki wa ngara yani "Ngara Hiphop" akiwa na wenzake wengi .

     Pia kaongera matalajio ya muziki wake, ambapo kasema kuwa Muziki wake anataraji kuufikisha, mbali ndani na nje ya Tanzania, pia kawashukuru wote wanaosappot, mziki wake .

     KgchataTv Godbicko ze mafia ft Caachido new song...Jipe Shavu.
    
     
     

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive