KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Sunday, December 10, 2017

TANZANIA KUPOTEZA WANAJESHI 12 KATIKA MAPIGANO INCHINI CONGO

    Habari Tanzania kupoteza wanajeshi 12 na wengine kujeruhiwa, katika jamuhuri ya kidemocrasia nchini Congo wakipigania Amani .

    Tanzania yawaenzi wanajeshi hao ambao, walikuwa wazalendo katika nchi yao ya Tanzainia .

    Wakiwa katika sherehe za uhiru, hapo jana 9/12/2017, watanzania wote wakiungana na na ndugu wa marehemu, hao wakienzi mashujaa hao wa Tanzania waliopoteza maisha .

     Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa Ambapo uhuru huo umeongozwa na Mgeni lasmi Dkt. John Pombe Magufuli, na viongozi wa juu kuongoza uhuru huo .
    
KgTv sponsored by kgmedia.com

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts

Blog Archive