Habari Tanzania kupoteza wanajeshi 12 na wengine kujeruhiwa, katika jamuhuri ya kidemocrasia nchini Congo wakipigania Amani .
Tanzania yawaenzi wanajeshi hao ambao, walikuwa wazalendo katika nchi yao ya Tanzainia .
Wakiwa katika sherehe za uhiru, hapo jana 9/12/2017, watanzania wote wakiungana na na ndugu wa marehemu, hao wakienzi mashujaa hao wa Tanzania waliopoteza maisha .
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa Ambapo uhuru huo umeongozwa na Mgeni lasmi Dkt. John Pombe Magufuli, na viongozi wa juu kuongoza uhuru huo .
KgTv sponsored by kgmedia.com
0 comments:
Post a Comment