Msanii huyo anaekwenda kwa jina la JACK BIKU, akihojiwa na KgTv Amesema kuwa anaachia, nyimbo/Video yake Mpya inayokwenda kwa jina la PAMELA, Pia amezungumzia video hiyo iliyokuwa ngumu kwake ila ssa Kumshukuru Mungu, kwa kua kazi hiyo imekamilika lasmi.
Ambapo amesema kuwa Video Hiyo ya Pamela, itaachiwa mnamo tarehe 8/12/2017 pia utaweza kuwa wakwanza, kuipata Youtube.com pia ameongezea kusema kuwa anaomba Sapoti ya kimziki, kutoka kwa mashabiki na wasanii wenzake, bila kuangalia, Jinsia,kabila, na nk.
Pia ameishukuru KgTvMedia.com kufanya nae mahojiano kwa njia ya Mtandao .
Jack_biku kuachia video yake mpya inayoitwa Pamela kuachiwa rasmi tarh 8/12/2017@ Allreservedonkgmedia.com
0 comments:
Post a Comment