Boss wa mtandao wa KgMedia TvNetwork, Ambae anaeleze uzinduzi wa LOGO yao mpya ya "KgChata Beat Maker" Amesema haya mapema hii akihojiwa na KgTv" Live .
Boss huyo wa mtandao wa kgmedia.com anaeitwa, Innocent kaparaga, aka kgchata ameelezea kwa ufupi kampuni yake ya kgmediacrew.
Ambapo ameelezea, kuwa Kampuni ya kg imefungulia miaka mi 4 iliyopita na kuanza kufanya kazi na kutambuliwa na wanachi wengi mwaka juzi, ambapo amesema kwa kifupi anaishukuru management nzima kwa mafanikio yaliyopatikana, amabapo kadai baadhi ya jamii kuweza kuelewa kwa kazi ya kampuni hiyo, inavofanya kazi .
Pia Boss Manager kgchata kachukua fursa kuishukuru Media, nzima na familia yake pamoja na watu wanaozidi, kuisapot Media na Tanzania kwa ujumla ambapo kaswma ktka safari nzur ya mafanikio huwa kunachangamoto .
Changamoto hizo kaelezea kwa ufupi kuwa, ilikiwa ni ucheleweshaji wa Blog,Tv,Page kuchelewa kufunguliwa lasmi na kuanza kufanya, kazi ambapo kaelezea kuwa ilikuwa ni ucheleweshaji wa malipo ya awali .
Manager kgchata, kazishukuru media nzima za Tz na wasanii kuendelea, kumpa sapoti ili kuweza kufanikisha shuguli za kampuni hiyo .
@KgchataMedia TvNetwork.com kuzindua Logo yao mpya inayoitwa, "kgchatabeatMaker"
Shukrani kwa wote mnaoifatilia KgMediaTV.com
0 comments:
Post a Comment