Akielezea Boss wa kampuni hiyo Herby Muhile alimaarufu kama Nana Tv, aelezea mpangalio Na jinsi ya kuipigia kura Nana Tv .
Boss Herby Nana tv akizungumza na KgMedia leo kaanza kwa kuelezea haya .
CONFIRMED......
👉Unaweza sasa kupiga kura kwa nana tv kama best unpromoted viewable media fan page, Instagram kwa kufata hatua hizi. 👉 Post picha yoyote andika neno VOTE kwa herufi kubwa kisha tumia hashtag zifuatazo #Nana tv #0250NTVfbpage2017 kisha tutag @nanatv_tz fanya hivo mara nyingi uwezavyo.
Boss herby Nana tv kaeleza na kusema kuwa mwisho, na muda wa upigaji kura ni tarehe 27/december .
Pia uongozi wa NanaTvMedia unawashukuru watu wote, wanaoendelea kuipigia kura NanaTvMedia .
@kgchatamediaNews.com
0 comments:
Post a Comment