Msanii Wa muziki RACKER BOY, kutambulisha nyimbo yake tarehe 1 mwez wa 12.
Msanii huyo wa bongo freva asema kuwa tarehe 1 mwez wa 12 atatambulisha, nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jiana la WAAMBIE Akiwa na SESHA BOY, ambapo ameomba mashabiki wake kuwa wavumilivu mpka siku hiyo msanii RACKER BOYONE .
Kwa kuangalia zaidi nyimbo na #video zake Andika #Racker boyone on #youtube
0 comments:
Post a Comment