Tuesday, September 25, 2018
HIZO FEDHA NI ZA RAMBI RAMBI TU KWA WAFIWA ASEMA WAZILI MKUU WA TANZANIA
Waziri mkuu wa Tanzania Amesema kuwa kuwa pesa zote, zinachotolewa kwa ajiri ya wafiwa wa Mv.Nyeree zitafanya shuguli za lambi lambi tu na sio shuguli zingine
Zaidi Soma hapa👇👇👇👇(Maneno) ya wazili mkuu wa Tanzania
Monday, September 24, 2018
WALIOPATA AJARI NA MV NYERERE MIILI IPATAYO 224 LEO KUAGWA RASMI
Viongozi wa Serikali na watanzania wote Leo hii wanaungana kuwaaga wenzetu waliopata ajari. Ya meli ndogo Mv.Nyerere iliyotoke juzi Maeneno ya kisiwa Cha ukara mkoa wa Mwanza Tanzania
Tia neno moja kwa wenzetu waliotangulia mbele za haki Comment neno moja kwa ndg Zetu Hawa .