KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Monday, January 07, 2019

KAMPUNI YA FLYOVER IMEWEKA WAZI BEI RASMI YA BIDHAA ZAOO @KgChataNews2019

Kampuni ya Fly Over Iliyoanzishwa Mwishoni mwa Mwaka 2018, December Na kufanya kazi nchini Tanzania Na nje ya Tanzania Imeweka wazi Leo Bei ya bidhaa zao Rasmi ili Kuepusha Usumbufu na Watu wanaojiwekea Bei zao wao Wenyewe Wakiwemo Mawakala Wa Kampuni hiyo na Wasambazi .

Akiongea Leo Manager Masoko, wa kampuni hiyo ya Fly Over Leo Jioni hii January 7/1/2018
Ameweka Wazi Bei lasmi na Kusema Kuwa kwa yeyote Atakaepandisha Bei bila Kuwa na Ruhusa au kibali Cha Kampuni, hiyo Kuchukuliwa Hatua.

Ambapo Amedai Bei za Bidhaa Zao Zitawekwa Kulingana na mzigo unaozalishwa na kupatikana katika Kampuni hiyo Ambapo ameanza kwa kuitambulisha, T.shirt na Mikoba ya kubebea Vitu ambapo Bei hizo Ni sh. Elfu kumi na Tano tu kwa kila T.shirt Moja $15 (15000)

Napia Kaongezea Kwa kusema kuwa Unapopata mzigo wako hakikisha unajipatia na zawadi yako ya Mkoba Mmoja kila ununuapo bidhaa ambapo mzigo wowote utakuwa ukimfikia mteja husika Mikoani/Wilayani Na nje ya Nchi .
@KgChataNewz Tz
Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts