Hi ni happythday iliyokuwa na Nguvu zaidi ambapo mtoto, alietimiza mwaka mmoja nchini tanzania, Tanzania Alipokuwa akiadhimisha siku yake ya Kuzaliwa pamoja na ndugu zake, ameichukuliwa picha zaidi ya Millioni Moja bila kuurudia nguo hii hapa zitazame zote kupitia @KgTv na @KgChataMedia.
Aidha familia ya mtoto huyo Izack I. Kaparaga akiungana na familia mbali mbali mbali na mitandao ya kijamii, pia Kupitia kampuni ya KgchataMedia. Itaonyesha sherehe nzima Kupitia @KgTv Leo hii muda was saa 10:00 jioni hi Maeneo ya Nyumbani kwaoo.
Akiongea na Vyombo vyetu vya nahar @Manager wa Mtandao wa @KgChataMedia Amesema kuwa anafara yeye pamoja na familia nzima na kuwatakia heri wote waliomwish mwanae kipenzi@Izack na familia yake nzima na pamoja na mtoto wake Kipenzi kwa kufikia siku Kama ya Leo tarh 27/11/2017 ambapo ndo alizaliwa mtoto huyo
Mungu atujalie uzima na ampe Maisha Marefu hapa Duniani na Kuishi na watu na heshima na adabu Amina.
👇👇👇👇👇
@To follow KgChataMedia kwa updates Zaid
@Fb kgchta
@Instagram Kgtv
@youtube Kgchatatv
0 comments:
Post a Comment