Mtihani wakuhitimu Kidato Cha Darasa La Saba ambao, matokeo yake yametoka hivi punde na Waziki wa Elimu Akiongea na waandishi wa Habri Amesema Mwaka Huu ufaulu umeongezeka kwa %4 kutofautisha na miaka Mingine iliyopita .
Na kuwataka waendelee na mbinu zaidi zitakazoweza kusaidia kuendelelea kujifunza zaidi na kufaulu zaidi
0 comments:
Post a Comment