Mapema hii Dimo classic akiongea na KgChataNews Amesema kuwa sijawahi kuimba live band jukwaani .
Amabo msanii wa bongo dimo amepewa shavu usiku wa valentine kwa kuimba nyimbo zake live na masataa kibao wa mwanza ambapo, kasema hataiangusha Land Music ya Ngara kwa ujumla na Taiifa.
Pia Staa Huyo ambae saiv ameelezea kuwa Saiv yuko na Mood ya paper/ au mtihiani wake shuleni lakina amedai, kumualika katima usiku wa valentine, kumemuongezea zaid nguya ya kushinda mifihani yake yote inayoanza juma tatu hii.
"NIANA IMANI NA MAISHA NA MUZIK WANGUZ KITU CHA KWANZA DUNIANI NI WAZAZI PILI NI MIMI TATU NI FANI AMBAYO IKO NDANI YANGU, sitawangusha kwa kuwa mziki wa live unahitaji ujasir na Akili na hmakini zaidi, Dimo classic.
Shukran kwa kila anae sapoti muziki wetu, thnx pia kwa kgchatanews kwa sapoti"