KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Tuesday, February 13, 2018

BE MY VALENTINE DAY DIMO CLASSIC LIVE KWA MARA YA KWANZA JUKWAANI ROCK CITY MWANZA@KgChataNews2018


Mapema hii Dimo classic akiongea na KgChataNews Amesema kuwa sijawahi kuimba live band jukwaani .

Amabo msanii wa bongo dimo amepewa shavu usiku wa valentine kwa kuimba nyimbo zake live na masataa kibao wa mwanza ambapo, kasema hataiangusha Land Music ya Ngara kwa ujumla na Taiifa.

Pia Staa Huyo ambae saiv ameelezea kuwa Saiv yuko na Mood ya paper/ au mtihiani wake shuleni lakina amedai, kumualika katima usiku wa valentine, kumemuongezea zaid nguya ya kushinda mifihani yake yote inayoanza juma tatu hii.

"NIANA IMANI NA MAISHA NA MUZIK WANGUZ KITU CHA KWANZA DUNIANI NI WAZAZI PILI NI MIMI TATU NI FANI AMBAYO IKO NDANI YANGU, sitawangusha kwa kuwa mziki wa live unahitaji ujasir na Akili na hmakini zaidi, Dimo classic.
Shukran kwa kila anae sapoti muziki wetu, thnx pia kwa kgchatanews kwa sapoti"

KgchataNews.Com kwa Kuipata nyimbo yake Be My Valentine Gusa KGChata Tv tanzania .
Share:

Friday, February 09, 2018

MSANII MC PARAGONI ASEMA ANAWAKUBARI ZAIDI UNDERGROUND ARTS'T KULIKO MASTAA@KgChataNews2018

Msanii wa muziki Tanzania Rapper Mc paragoni, akiongea na Kgchata tv amesema kuwa anakubali marapa Underground kuliko master.

Mapema hii amefunguka alipokuwa, anaelezea maisha na muziki wake toka aanze, game ameanza kwa kusema kuwa, ameanza game akiwa mdogo kwa kusikiliza, nyimbo nakugundua kuwa anaweza kuandika na kuimba, akiwa sgule ya msingi .

Msanii na Rapper Mc Paragoni, amesema na kuelezea misingi ya rap hip hop ya bongo na nje ya bongo, akisisitiza kuwa heshima ya hip hop rap, haipewi ushirikiano na vyombo husika.

Mc huyo meongea kuwa, mashabiki na management, itakayojitokeza kusimamia kaz au kikundi chake kufata misingi imara ya usimamizi, wa management .
Afunguka Mc paragoni 

@KgChataNews
@Kgchata tv Tanzania
Kwa full interview Live, gusa youtube kgchata kumsikiliza live 
Share:

MSANII FOX BOY AKA HANGAZA GHOST ALICHOKISEMA KUHUSU MUZIKI WAKE MPYA@KgChataNews2018

Rapper Huyo Mapema hii akiongea na Kgchata News amesema, kuwa mwaka huu ni wa neema sana kuliko miaka iliyopita kwa kuwa ameona, hatua ziiikua katika muziki wake .

Ambapo mapema hii amesema maisha ya muziki wake yameanza, miaka mingi ya nyuma, ambapo amesema yeye aliposhuka duniani na kipaji cha sanaa, ya mziki ilipoanza papo hapo .

Msanii fox boy kaelezea mengi, sana ikiwemo kuachia nyimbo tofauti ambapo zinakuja soon, fox boy pia ameelezea na kusema kuwa mashabiki ndo nguzo yake kubwa, ili aziwadondoshe ni lazima kuwapa vitu vikali, na vikubwa katika industry ya muziki wa bongo Tanzania.

Malengo yake amesema, kuwa anatarajia mziki wake ufike mbali kutoka Ngara mpka kona zote za dunia ndani na nje ya nchi, ambapo kaelezea pia nyimbo yake Muda ndo huu na kusema ni nyimbo kubwa, sana na anaamini itafika mbali .

@KgChataNews.com
@Full Intervie Gusa youtube channel kgchata tv Tanzania ili kumsikiliza live, fox boy alichokisema kwa upana zaid.

Share:

Monday, February 05, 2018

MSANII WA MZIKI PIA AMBAE NI PRODUCER WA MUZIKI WA BONGO ETCO PRO. HIVI KALIBUNI KAZUNGUMZIA NYIMBO YAKE MPYA@KgchataNews2018

Hii hapa habari tena kama kawa chama la wana Kgchata Tv, & news Akizungumza Msanii Etco.Pro amesema mengi kuhusu maisha yake ya kimziki na masomo, asema kila kitu kinawakati wake .

Msanii Etcovprod ambae bado ni mwanafunzi katikashule frani, lakin levo za juu kdg amesema kuwa ameishi ndani ya mziki toka mdogo sana na kusema, kuwa anapenda sana music kabla ya kuimba alipenda sana kuproduce nyimbo tofauti za wasanii.

Etco.prod pia amesema, kuwa ukitaka kujua utamu wa ngoma uingie ucheze, ambapo tafsir hiyo kaitoa baada ya kuachia hiti song ya nyimbo yake mpya Mr.Kivuruge, ambayo imetoka soon on social network .

Raper huyo ambae, kazungumzia kuwa na ndoto za kufanya kazi nyingi ili kufika levo ya juu, kama nchi frani za nje, ili kuweza kukuza sanaa amewapa mashavu sana, na kusema kuwa anawapenda, mashabiki, pia amesema yeyote anaeweza kufanya kazi amtafute Etco.prod, kwa kazi yoyote ya kimuziki amemaliza Rapper huyo Etco Pro.

"Nawapenda sana mashabiki, zangu waendelee kunipa sapoti na mimi nawaandalia vitu vikali kwa ajir yao mr.kivuruge Etco.pro"

📶Tufatilie kila siu Masaa 24/7 
@KgChata Tv
@KgChta News
Share:

Thursday, February 01, 2018

MSANII WA UGANDA MOZEY RADIO WA KUNDI LA GOODLIFE UGANDA AFARIKI DUNIA@kgchatanews2018

Habar zilizotufikia hii leo ni kuhusu msanii maarufu, kutoka Uganda Mozy Radio wa kundi la Goodlife Amefariki dunia .

Ingawa chanzo bado hakijajulikana, tumepokea habar kutoka local NTV UGANDA, Mapema hii yatoa habar ya kusikitisha, na kushangaza Dunia .

Hakika ni pigo kubwa kuondokewa na sataa mkubw wa mziki Uganda, na tegemezi kaika kundi la Goodlofe Nchini uganda R.I.P
KgChataNews@2018
Share:

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts