Habar zilizotufikia hii leo ni kuhusu msanii maarufu, kutoka Uganda Mozy Radio wa kundi la Goodlife Amefariki dunia .
Ingawa chanzo bado hakijajulikana, tumepokea habar kutoka local NTV UGANDA, Mapema hii yatoa habar ya kusikitisha, na kushangaza Dunia .
Hakika ni pigo kubwa kuondokewa na sataa mkubw wa mziki Uganda, na tegemezi kaika kundi la Goodlofe Nchini uganda R.I.P
KgChataNews@2018
0 comments:
Post a Comment