Msanii wa muziki Tanzania Rapper Mc paragoni, akiongea na Kgchata tv amesema kuwa anakubali marapa Underground kuliko master.
Mapema hii amefunguka alipokuwa, anaelezea maisha na muziki wake toka aanze, game ameanza kwa kusema kuwa, ameanza game akiwa mdogo kwa kusikiliza, nyimbo nakugundua kuwa anaweza kuandika na kuimba, akiwa sgule ya msingi .
Msanii na Rapper Mc Paragoni, amesema na kuelezea misingi ya rap hip hop ya bongo na nje ya bongo, akisisitiza kuwa heshima ya hip hop rap, haipewi ushirikiano na vyombo husika.
Mc huyo meongea kuwa, mashabiki na management, itakayojitokeza kusimamia kaz au kikundi chake kufata misingi imara ya usimamizi, wa management .
Afunguka Mc paragoni
@KgChataNews
@Kgchata tv Tanzania
Kwa full interview Live, gusa youtube kgchata kumsikiliza live
0 comments:
Post a Comment