KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Tuesday, January 30, 2018

DIAMOND AKUBARI KUFANYA KOLABO NA ALIKIBA STORY ZAIDI - KgChataNews@2018


Katika usiku wa kumtambulisha maromboso wa WCB mkubwa fella alisema kuwa anatamani sana Diamond, kabla hajafa afanye kolabo na Alikiba.

Kwenye Exclussive diamond alipoulizwa hilo alijibu kuwa atafanya kolabo na alikiba kwani hakuna ubaya wowote kati yake na alikiba .

Diamond alikuwa akimzungumzia, maromboso kwa ujio wake ikiwa hiv kalibuni kasajiliwa na WCB amesema kuwa kila mtu ana ridhiki yake na mashabiki wake wakimziki, pia 

kaongezea kusema kuwa so msanii kujivunia mashabiki bali ajivunie kwa kidogo anachopewa na Mungu, ili aweze kuisaidia familia yake na majirani asema Star wa muziki nchini Diamond Platnums
Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts