Muigizaji Maarufu wa Maagizo nchini Maarufu kama, Wastara Juma ambae amekuwa akisumbuliwa na Mguu wake mudamrefu Amepokea misaada mbali mbali ya matibabu ya Muguu wake kutoka sehemu mbali mbali mbali.
Ambapa Mapema jana Mh. Raisi wa Tanzania John Magufuli amemwagiza Katibu wake Ngusa Samike awakilishe mchango wa mh.John pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli ambapo wametoa sh.Milioni 15 kwa ajir ya matibu ya mguu wa Wastara .
0 comments:
Post a Comment