KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Wednesday, January 17, 2018

RACKER BOY ONE AFUNGUKA KUHUSU KUACHIA NYIMBO YAKE KAMA ZAWADI KWA MASHABIKI KUFUATIWA SIKU YAKE YA KUZARIWA_kgchatanews@2018

Msanii wa Muziki bongo freva Rocker boy One, ambae anafanya game ya bongo hip hop Tanzania, ambae anaazimisha siku ya kuzaliwa leo hii .

Afunguka na kusema, kuwa leo siku ya kuzaliwa ametambulisha nyimbo yake mpya ya WAAMBIE, ambayo kaitambulisha lasmi leo tarehe 17/1/2018 .

Pia msanii racker boy amezungumzia maisha na safali yake ya mziki ambae amesema ana project nying sana ambazo zitatoka mwaka huu ambazo zitafatiwa na video hzo pia msanii huyo amesema kuwa mashabiki wake wategee kuungana kwa sasa kwa kua anatalajia kufanya show tofaut tofauti Kanda ya ziwa .

So mashabiki mkae mkao wa Show kali ambazo nitazunguka kanda ya ziwa kuwaletea burudani" Amesema racker boy one 
Hoollaaa ukiwa na Kgchatanews Story na interview zaid gusa youtube KGChata Tv Online ili kusikiliza Interview live na msanii Racker Boy One
Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts