Msanii wa Comedy Tanzania Paulo Aka Chambuzi Comedian Amesema Mapema Hii akiongea na KgTv News amedai kuwa jioni ya leo tarehe 10/1/2018 anaachia
Video Cover yake Mpya .
Msanii huyo amewaomba mashabiii kusaport kaz itakayoachiw leo jioni kuwa ni kali sana yenye maadili kwa jamii pia amezungumzia ugumu wa kuipata kazi ya Msanii Wa muziki Coasta Model Mapenz ambapo kasema ilikuwa kazi kufikia makubaliano ya kuruhusu msanii huyo wa comedy kuachia video hiyo.
Ila kwa sasa msanii huyo amesema kuwa kaz ipo tayar anajiandaa nabkupanga time ya kuiachia kwa mashabiki hv punde itakuwa youtube follow Kgchata Tv Tanzania ili kuiona kazi hiyo alisema msanii huyo Chambuz Comediani
0 comments:
Post a Comment