Msanii maarufu nchini Brother k anaetambulika zaidi kwa kufanya industry ya comed ,nchini akiongea na kgchata tv amefunguka na kusema kuwa Hivi kalibuni anatambulisha video yao mpya inayokwenda, kwa jina la Mrembo wa Buselesele ambapo kasema, kaja na ujio mpya wa kuachia nyimbo zake zaid ya 5.
Pia msanik huyo alietoa wimbo wa Khadija akiongea na kgnews amesema now wanproject nyinga sana walizoziandaa, pamoja na wasanii hao wapancrass , pia kaongelea kuwa zipo projrct zaid ya 100 ikiwa mwaka huu wataanza kuachia kaz 5 mfurulizo .
Pia amemalizia na kusema kuwa, Mashabiki wake wategemee vitu vingi kutoka kwake, na kuwa amesema atakuwa akifanya tour Tanzania, nzima ili kuzindua nyimbo zake hizo story zaidi akiwa live on KgChata Tv channel online Ingia youtube ili kumsikiliza alichosema live
0 comments:
Post a Comment