Mapema kabla ya nabii Huyo anaekwenda kwa jina la nabii TITO, kushikiliwa na vyombo vya habari ambapo, kabla ya kukamatwa amekua akiipotosha jamii kupitia DINI.
Ambapo kabla ya kushikiliwa na jeshi la police amekuwa akidhalilisha, Imani ya Mungu kwa Vitndo viovu ikiwa kuwapotosh/ kuipotosha jamii kwa vitendo vichafu.
Hivi kalibuni Nabii Huyo Kakamatwa na Mtandao wa kijamii wa Instagram wa Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, "Mwigulu Nchemba" Amethibitisha na kuandika "Udhalilishaji wa Aina yoyote ile haukubaliki(Kijinsia,Dini Nk).
0 comments:
Post a Comment