KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Friday, January 26, 2018

SABABU ZA NABII TITO KUJIFANYA NABII HIZI HAPA ZATAJWA BAADA YA KUSHIKIRIWA NA POLICE

Mapema kabla ya nabii Huyo anaekwenda kwa jina la nabii TITO, kushikiliwa na vyombo vya habari ambapo, kabla ya kukamatwa amekua akiipotosha jamii kupitia DINI.

Ambapo kabla ya kushikiliwa na jeshi la police amekuwa akidhalilisha, Imani ya Mungu kwa Vitndo viovu ikiwa kuwapotosh/ kuipotosha jamii kwa vitendo vichafu.

Hivi kalibuni Nabii Huyo Kakamatwa na Mtandao wa kijamii wa Instagram wa Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, "Mwigulu Nchemba" Amethibitisha na kuandika "Udhalilishaji wa Aina yoyote ile haukubaliki(Kijinsia,Dini Nk).

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts