Aliekuwa mtangazaji wa Radio Free Africa Afariki dunia Usiku wa kuamkia Leo Ikiwa bado chanzo cha kifo chake Bado hakijatambulika Mpka hapo uchunguzi utakapokuwa tayar kwa uchunguzi
Mtangazaji huyo anaekwenda kwa jina la Zuberi Msabaha, aliefariki usiku wa kuamkia Leo Mazishi yanatalajia kufanyika huko Mabatini mwanza Mungu ailaze Roho ya marehem Mahali pema Amina na tuzidi kumwombea na kuifaliji familia ya Wafiwa Amina .
0 comments:
Post a Comment