Staa wa Music America Marekani Rick Ross Leo 26/january 2010 Amechukua kichwa cha habar leo katika, mitandao ya kijamii baada ya kujulikana kufuta picha zote za Diamond Platnus katika ukurasa wake wa Instagrams.
Rick Ross amewahi kumpost mara mbili, Diamond platnums kweny ukurasa wake wa instagram wa rick ross post zote zikihusishwa kwa ubalozi wa kinywaji cha Beraile Mwez September 2017.
Maswali yamezidi kuwa mengi kwa mashabiki, baada ya Rick ross kutofuta picha za kinywaji cha pombe Beraile na kuacha, picha Huddah Monroe ambae pia ni balozi wa kinywaji hicho, kutokea nchini kenya, Lakin post za Diamond pekee ndo kafuta .
Kipi kinaendelea kati ya Diamond na Rick Ross? Ikumbukwe tu Diamond na Rick Ross wamefanya ngoma Ya waka waka iliyofanyika nchini Marekani basi.
0 comments:
Post a Comment