https://www.youtube.com/watch?v=JyVlj6Cw1nY&t=4s
Amonta4real akihojiwa na KgChataNews Amedai kuwa video yake ilichelewa kutoka kutokana na Madirector kucheleweshewa vifaa vya shooting pia Amedai kuwa Bajet ya video ilikuwa ndogo pia kukosa hela ya kulipia Location, Video Qn, Usafir na chakula pia ambapo ilibidi kuchukua Takribani wiki moja tena mbele ili kukanilisha mambo hayo .
Aidha Amonta mbali na hayo amesema kuwa Now video imetoka iko tayar kabisa ili kuiona Gusa link hapo juu na Kuitazama zaidi pia amonta Amedai Mwaka 2018 ameandaa project 2 ambazo zitatoka mfululizovkwa ajir ya kuwaomba msamaha mashabiki na kurudi tena katika game lasmi
0 comments:
Post a Comment