Wasanii wa Bongofreva Mapacha hao wawili walionda kundi la WAPANCRASS lililoanzishwa miaka kadhaa ya nyuma wamefunguka na kusema kuwa Wanacollabo nyingi sana walizofanya na wasanii tofauti tofauti na wasanii wa Tanzania
Wapancrass wamefunguka na kusema kuwa katika Life la mziki wao wamekuwa ni watu wanaofanya vizur kwa kaz zao za uimbzi ambapo wamesema, wanakzi nyingi tofauti tofauti ambazo nibkali, sana Pia kubwa ni hii collabo yao ya muziki na Msanii wa Comediaon Brother k na Chambuzi comedian.
Ambapo wamedai kuwa mda sio mrefu kazi hiyo itatoka hewani na video yake kukamilika hiv punde wasanii hao pia wameomba mashabiki wao kuwa nao katika saport ambapo wanadondosha video 2 mfurulizo ikowa, ni nyimbo ya LIMEYUMBA, na Collabo yao na Brother K
Pia wafatilie zaid youtube KGChata Tv Online walichokisema live
0 comments:
Post a Comment