KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Monday, January 01, 2018

MSANII WA BONGO FREVA DIMO CLASSIC KUZUNGUMZIA MZIKI WAKE MPYA(wewe ni nani?)

  Msanii wa muziki wa Bongo freva akiongea na KgTvNews mapema hii, amesema kuwa Anatalajia kuachia nyimbo yake Mpya mwaka huu 2018, ikiwa ningoma ya kufungua mwaka huu .

Pia msanii huuo ambae yuko chini ya Kampuni ya ROYAL MOUNTAIN, Amesema kuwa, Management inaruhusu song hilo kuachiwa leo mnao saa 6 kamili usiku, sabubu ikiwa ni moja kati ya saprise aliyoifanya kwa mashabiki, wake wa muziki .

Pia kazungumzia, kuhhsu mashabiki kuipokea ngoma hiyo kwa kua ni kali na yakusiaimua, kassma ngoma hiyo hajasimama peke ake kamshilikisha mwanadada mwenye uwezo mkubwa Tash Qeen kutokea pande za Tabora .

"Dimo k sina mengi Ila kikubwa Namshukuru mungu kufikia hapa mpaka leo kukamilisha nyimbo yangu mpya nawapenda sana mashabiki wangu wote wakae mkao ngoma mpya WEWE NI NANI soon kwa masikio yao".

KgChataMedia.com nasi kwa pamoja kumpa shukran kwa show news thnx Dimo Classic kwa Time yako .
Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts