Msanii wa muziki wa Bongo freva akiongea na KgTvNews mapema hii, amesema kuwa Anatalajia kuachia nyimbo yake Mpya mwaka huu 2018, ikiwa ningoma ya kufungua mwaka huu .
Pia msanii huuo ambae yuko chini ya Kampuni ya ROYAL MOUNTAIN, Amesema kuwa, Management inaruhusu song hilo kuachiwa leo mnao saa 6 kamili usiku, sabubu ikiwa ni moja kati ya saprise aliyoifanya kwa mashabiki, wake wa muziki .
Pia kazungumzia, kuhhsu mashabiki kuipokea ngoma hiyo kwa kua ni kali na yakusiaimua, kassma ngoma hiyo hajasimama peke ake kamshilikisha mwanadada mwenye uwezo mkubwa Tash Qeen kutokea pande za Tabora .
"Dimo k sina mengi Ila kikubwa Namshukuru mungu kufikia hapa mpaka leo kukamilisha nyimbo yangu mpya nawapenda sana mashabiki wangu wote wakae mkao ngoma mpya WEWE NI NANI soon kwa masikio yao".
0 comments:
Post a Comment