KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Friday, January 26, 2018

MADAKTARI UBERIGIJI WAMEFANIKIWA KUTOA RISASI ILIYOKUWA IMEBAKI NDANI YA MWILI WA MH.TUNDU LISSU@2018

Habari iliyotufikia Mapema Ya Mh.Tundu Lissu aliepata ajar ya kupigwa Lisasi Nawatu wasiojulikana, na kujeruhiwa akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake, Ambapo alikimbizwa Kenya kwa ajir ya matibabu, na kufanikiwa kwa kiasi kujaribu kizitoa risasi zilizokuwa ndani ya mwili wake .

Mh.Tundu Lissu akiongea, kutoka ubeligiji mapema hii amedai kuwa madaktari wamefanikiwa, kuiondoa risasi iliyobaki ndani ya mwl. Wake mara baada ya kutolewa nchni kenya.

Tundu Lissu Kaongea haya" Mungu ni mwema risasi iliyobaki ndani ya Mwili wangu imefanikiwa kutolewa na Madaktari wa Ubelgiji".

Share:

0 comments:

Post a Comment

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts