KG CHATA VITU BORA

HABARI NA KGCHATA

Tuesday, January 30, 2018

DIAMOND AKUBARI KUFANYA KOLABO NA ALIKIBA STORY ZAIDI - KgChataNews@2018


Katika usiku wa kumtambulisha maromboso wa WCB mkubwa fella alisema kuwa anatamani sana Diamond, kabla hajafa afanye kolabo na Alikiba.

Kwenye Exclussive diamond alipoulizwa hilo alijibu kuwa atafanya kolabo na alikiba kwani hakuna ubaya wowote kati yake na alikiba .

Diamond alikuwa akimzungumzia, maromboso kwa ujio wake ikiwa hiv kalibuni kasajiliwa na WCB amesema kuwa kila mtu ana ridhiki yake na mashabiki wake wakimziki, pia 

kaongezea kusema kuwa so msanii kujivunia mashabiki bali ajivunie kwa kidogo anachopewa na Mungu, ili aweze kuisaidia familia yake na majirani asema Star wa muziki nchini Diamond Platnums
Share:

Sunday, January 28, 2018

MSANII WA MUZIKI WA BONGO FREVA RAINFALL AZUNGUMZIA MZIKI WAKE MPYA (BABA LA BABA)KgchataNews@2018

Msanii wa muziki wa bongo Rainfall ambae anakwenda kwa jina la Fidel ameongea mapema hii na KgChata News ambapo kauzungumzia mziki wake mpya unaokwenda kwa jina la baba la baba.
Msanii Rainfall pia kaelezea historia ya mizik wake mpya ambao ameanza miaka ya nyuma enzi yuko shule ya msingi ambapo alianza kwa kuimba nyimbo, za watu na kutumia beats za watu hisusa ni kwenye sherehe za shule, harusi na kadhalika .

Msanii huyo wa muziki wa bongo Ambae kwa muda murefu amekuwa akifanya kazi ya Muziki peke yake ambapo mwaka huu mwezi wa kwanza kapata,shavu la kumanagiwa na Kampuni ya KgChataMedia, ambapo toka aanze kusimamiwa na kampuni hiyo, ameachia kibao cha kwanza kinachokwenda kwa jina la baba l baba .

Msanii Rainfall wa bongo freva amesema kuwa, anawaheshimu na kuwathamin mashabiki wake wa muziki wake na kuwaahidi, mengi mazur kutokea kampuni, hiyo ya Kgchata ambapo kaahidi kuachia video ndani ya mwezi wa 4 
KgchataMediaNes@2018
Share:

Saturday, January 27, 2018

CHANZO CHA RICK ROSS KUFUTA PICHA ZA DIAMOND PLATNUM KWENYE ACCOUNT YAKE YA INSTAGRAM

Staa wa Music America Marekani Rick Ross Leo 26/january 2010 Amechukua kichwa cha habar leo katika, mitandao ya kijamii baada ya kujulikana kufuta picha zote za Diamond Platnus katika ukurasa wake wa Instagrams.

Rick Ross amewahi kumpost mara mbili, Diamond platnums kweny ukurasa wake wa instagram wa rick ross post zote zikihusishwa kwa ubalozi wa kinywaji cha Beraile Mwez September 2017.

Maswali yamezidi kuwa mengi kwa mashabiki, baada ya Rick ross kutofuta picha za kinywaji cha pombe Beraile na kuacha, picha Huddah Monroe ambae pia ni balozi wa kinywaji hicho, kutokea nchini kenya, Lakin post za Diamond pekee ndo kafuta .

Kipi kinaendelea kati ya Diamond na Rick Ross? Ikumbukwe tu Diamond na Rick Ross wamefanya ngoma Ya waka waka iliyofanyika nchini Marekani basi.
Share:

Friday, January 26, 2018

MUIGIZAJI MAARUFU WASTARA KUPATIWA FEDHA ZA MATIBABU YA MGUU WAKE NA VIONGOZI WA JUU TZ@2018

Muigizaji Maarufu wa Maagizo nchini Maarufu kama, Wastara Juma ambae amekuwa akisumbuliwa na Mguu wake mudamrefu Amepokea misaada mbali mbali ya matibabu ya Muguu wake kutoka sehemu mbali mbali mbali.

 Ambapa Mapema jana Mh. Raisi wa Tanzania John Magufuli amemwagiza Katibu wake Ngusa Samike awakilishe mchango wa mh.John pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli ambapo wametoa sh.Milioni 15 kwa ajir ya matibu ya mguu wa Wastara .


Share:

MADAKTARI UBERIGIJI WAMEFANIKIWA KUTOA RISASI ILIYOKUWA IMEBAKI NDANI YA MWILI WA MH.TUNDU LISSU@2018

Habari iliyotufikia Mapema Ya Mh.Tundu Lissu aliepata ajar ya kupigwa Lisasi Nawatu wasiojulikana, na kujeruhiwa akiwa njiani kuelekea nyumbani kwake, Ambapo alikimbizwa Kenya kwa ajir ya matibabu, na kufanikiwa kwa kiasi kujaribu kizitoa risasi zilizokuwa ndani ya mwili wake .

Mh.Tundu Lissu akiongea, kutoka ubeligiji mapema hii amedai kuwa madaktari wamefanikiwa, kuiondoa risasi iliyobaki ndani ya mwl. Wake mara baada ya kutolewa nchni kenya.

Tundu Lissu Kaongea haya" Mungu ni mwema risasi iliyobaki ndani ya Mwili wangu imefanikiwa kutolewa na Madaktari wa Ubelgiji".

Share:

SABABU ZA NABII TITO KUJIFANYA NABII HIZI HAPA ZATAJWA BAADA YA KUSHIKIRIWA NA POLICE

Mapema kabla ya nabii Huyo anaekwenda kwa jina la nabii TITO, kushikiliwa na vyombo vya habari ambapo, kabla ya kukamatwa amekua akiipotosha jamii kupitia DINI.

Ambapo kabla ya kushikiliwa na jeshi la police amekuwa akidhalilisha, Imani ya Mungu kwa Vitndo viovu ikiwa kuwapotosh/ kuipotosha jamii kwa vitendo vichafu.

Hivi kalibuni Nabii Huyo Kakamatwa na Mtandao wa kijamii wa Instagram wa Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, "Mwigulu Nchemba" Amethibitisha na kuandika "Udhalilishaji wa Aina yoyote ile haukubaliki(Kijinsia,Dini Nk).

Share:

Sunday, January 21, 2018

BROTHER K AFUNGUKA KUHUSU VIDEO YAKE MPYA NA WAPANCRASS MREMBO WA BUSERESERE@kgchatanews/2018

Msanii maarufu nchini Brother k anaetambulika zaidi kwa kufanya industry ya comed ,nchini akiongea na kgchata tv amefunguka na kusema kuwa Hivi kalibuni anatambulisha video yao mpya inayokwenda, kwa jina la Mrembo wa Buselesele ambapo kasema, kaja na ujio mpya wa kuachia nyimbo zake zaid ya 5.

Pia msanik huyo alietoa wimbo wa Khadija akiongea na kgnews amesema now wanproject nyinga sana walizoziandaa, pamoja na wasanii hao wapancrass , pia kaongelea kuwa zipo projrct zaid ya 100 ikiwa mwaka huu wataanza kuachia kaz 5 mfurulizo .

Pia amemalizia na kusema kuwa, Mashabiki wake wategemee vitu vingi kutoka kwake, na kuwa amesema atakuwa akifanya tour Tanzania, nzima ili kuzindua nyimbo zake hizo story zaidi akiwa live on KgChata Tv channel online Ingia youtube ili kumsikiliza alichosema live 
Share:

Wednesday, January 17, 2018

RACKER BOY ONE AFUNGUKA KUHUSU KUACHIA NYIMBO YAKE KAMA ZAWADI KWA MASHABIKI KUFUATIWA SIKU YAKE YA KUZARIWA_kgchatanews@2018

Msanii wa Muziki bongo freva Rocker boy One, ambae anafanya game ya bongo hip hop Tanzania, ambae anaazimisha siku ya kuzaliwa leo hii .

Afunguka na kusema, kuwa leo siku ya kuzaliwa ametambulisha nyimbo yake mpya ya WAAMBIE, ambayo kaitambulisha lasmi leo tarehe 17/1/2018 .

Pia msanii racker boy amezungumzia maisha na safali yake ya mziki ambae amesema ana project nying sana ambazo zitatoka mwaka huu ambazo zitafatiwa na video hzo pia msanii huyo amesema kuwa mashabiki wake wategee kuungana kwa sasa kwa kua anatalajia kufanya show tofaut tofauti Kanda ya ziwa .

So mashabiki mkae mkao wa Show kali ambazo nitazunguka kanda ya ziwa kuwaletea burudani" Amesema racker boy one 
Hoollaaa ukiwa na Kgchatanews Story na interview zaid gusa youtube KGChata Tv Online ili kusikiliza Interview live na msanii Racker Boy One
Share:

WAPANCRASS WAFUNGUKA COLLABO YAO NA BROTHER K WALIYOSHIRIKISHWA_kgchatanews@2018

Wasanii wa Bongofreva Mapacha hao wawili walionda kundi la WAPANCRASS lililoanzishwa miaka kadhaa ya nyuma wamefunguka na kusema kuwa Wanacollabo nyingi sana walizofanya na wasanii tofauti tofauti na wasanii wa Tanzania

Wapancrass wamefunguka na kusema kuwa katika Life la mziki wao wamekuwa ni watu wanaofanya vizur kwa kaz zao za uimbzi ambapo wamesema, wanakzi nyingi tofauti tofauti ambazo nibkali, sana Pia kubwa ni hii collabo yao ya muziki na Msanii wa Comediaon Brother k na Chambuzi comedian.

Ambapo wamedai kuwa mda sio mrefu kazi hiyo itatoka hewani na video yake kukamilika hiv punde wasanii hao pia wameomba mashabiki wao kuwa nao katika saport ambapo wanadondosha video 2 mfurulizo ikowa, ni nyimbo ya LIMEYUMBA, na Collabo yao na Brother K 
Pia wafatilie zaid youtube KGChata Tv Online walichokisema live 
Share:

Saturday, January 13, 2018

HIKI NDICHO CHANZO CHA VIDEO YA AMONTA4REAL WATHAMANI KUCHEREWA KUTOKA SOMA HAPA@2017

https://www.youtube.com/watch?v=JyVlj6Cw1nY&t=4s

Amonta4real akihojiwa na KgChataNews Amedai kuwa video yake ilichelewa kutoka kutokana na Madirector kucheleweshewa vifaa vya shooting pia Amedai kuwa Bajet ya video ilikuwa ndogo pia kukosa hela ya kulipia Location, Video Qn, Usafir na chakula pia ambapo ilibidi kuchukua Takribani wiki moja tena mbele ili kukanilisha mambo hayo .

Aidha Amonta mbali na hayo amesema kuwa Now video imetoka iko tayar kabisa ili kuiona Gusa link hapo juu na Kuitazama zaidi pia amonta Amedai Mwaka 2018 ameandaa project 2 ambazo zitatoka mfululizovkwa ajir ya kuwaomba msamaha mashabiki na kurudi tena katika game lasmi 
Share:

Friday, January 12, 2018

Wednesday, January 10, 2018

CHAMBUZI COMEDIAN KUACHIA VIDEO COVER JIONI HII @2018

Msanii wa Comedy Tanzania Paulo Aka Chambuzi Comedian Amesema Mapema Hii akiongea na KgTv News amedai kuwa jioni ya leo tarehe 10/1/2018 anaachia
 Video Cover yake Mpya .

Msanii huyo amewaomba mashabiii kusaport kaz itakayoachiw leo jioni kuwa ni kali sana yenye maadili kwa jamii pia amezungumzia ugumu wa kuipata kazi ya Msanii Wa muziki Coasta Model Mapenz ambapo kasema ilikuwa kazi kufikia makubaliano ya kuruhusu msanii huyo wa comedy kuachia video hiyo.

Ila kwa sasa msanii huyo amesema kuwa kaz ipo tayar anajiandaa nabkupanga time ya kuiachia kwa mashabiki hv punde itakuwa youtube follow Kgchata Tv Tanzania ili kuiona kazi hiyo alisema msanii huyo Chambuz Comediani
Share:

BREAKING NEWS ALIEKUWA MTANGAJI WA REDIO FREE AFRICA AFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO

Aliekuwa mtangazaji wa Radio Free Africa Afariki dunia Usiku wa kuamkia Leo Ikiwa bado chanzo cha kifo chake Bado hakijatambulika Mpka hapo uchunguzi utakapokuwa tayar kwa uchunguzi 
Mtangazaji huyo anaekwenda kwa jina la Zuberi Msabaha, aliefariki usiku wa kuamkia Leo Mazishi yanatalajia kufanyika huko Mabatini mwanza Mungu ailaze Roho ya marehem Mahali pema Amina na tuzidi kumwombea na kuifaliji familia ya Wafiwa Amina .
Share:

Monday, January 08, 2018

KayRib TULIA NAMI OFFICIAL AUDIO

Share:

Friday, January 05, 2018

gilbey capachido-coco babey

              DOWNLOAD NOW 

Share:

Monday, January 01, 2018

MSANII WA BONGO FREVA DIMO CLASSIC KUZUNGUMZIA MZIKI WAKE MPYA(wewe ni nani?)

  Msanii wa muziki wa Bongo freva akiongea na KgTvNews mapema hii, amesema kuwa Anatalajia kuachia nyimbo yake Mpya mwaka huu 2018, ikiwa ningoma ya kufungua mwaka huu .

Pia msanii huuo ambae yuko chini ya Kampuni ya ROYAL MOUNTAIN, Amesema kuwa, Management inaruhusu song hilo kuachiwa leo mnao saa 6 kamili usiku, sabubu ikiwa ni moja kati ya saprise aliyoifanya kwa mashabiki, wake wa muziki .

Pia kazungumzia, kuhhsu mashabiki kuipokea ngoma hiyo kwa kua ni kali na yakusiaimua, kassma ngoma hiyo hajasimama peke ake kamshilikisha mwanadada mwenye uwezo mkubwa Tash Qeen kutokea pande za Tabora .

"Dimo k sina mengi Ila kikubwa Namshukuru mungu kufikia hapa mpaka leo kukamilisha nyimbo yangu mpya nawapenda sana mashabiki wangu wote wakae mkao ngoma mpya WEWE NI NANI soon kwa masikio yao".

KgChataMedia.com nasi kwa pamoja kumpa shukran kwa show news thnx Dimo Classic kwa Time yako .
Share:

Follow on Facebook

BTemplates.com

Powered by Blogger.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Search This Blog

[Latest News][6]

mix
NEW AUDIO
New Photos
NEW STORY
NEW VIDEOS

Like us on Facebook

Most Popular this week

Popular Posts